Radio Maria Tanzania

著者: Radio Maria Tanzania
  • サマリー

  • Radio Maria Tanzania
    続きを読む 一部表示

あらすじ・解説

Radio Maria Tanzania
エピソード
  • Je, Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani?
    2025/04/17

    Karibu katika Kipindi cha Maswali Imani ukiwa nami Frateri Erasto Mwanasindele, Kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea nikijibu swali la Msikilizaji linalosema. Je,Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani?

    L'articolo Je, Mkristo anapaswa kupokea Ekaristi Takatifu akiwa katika hali gani? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    28 分
  • Kwaresima ni kipindi cha namna gani katika maisha ya kiroho?
    2025/04/17

    Ungana nami Judith Mpalanzi katika kipindi cha Katekisimu Katoliki Shirikishi, Mwezeshaji ni Padre Dominic Mavula C.PP.S,Mkurugenzi wa Matangazo Radio Maria Tanzania, akiendelea kutufundisha juu ya Kwaresima njia ya kutambua hazina ya Neno.

    L'articolo Kwaresima ni kipindi cha namna gani katika maisha ya kiroho? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    53 分
  • Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu.
    2025/04/15

    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Fahamu wito wako, Mwezeshaji ni Padre Innocent Bahati Mushi kutoka Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Jimbo Kuu la Arusha, akizungumzia juu ya Ijimaa Kuu.

    L'articolo Ifahamu Liturujia ya Ijumaa Kuu. proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    54 分

Radio Maria Tanzaniaに寄せられたリスナーの声

カスタマーレビュー:以下のタブを選択することで、他のサイトのレビューをご覧になれます。