エピソード

  • Je, unafahamu madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia?
    2025/06/11

    karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, ambapo leo Frateri Valence Leons Sangu kutoka Seminari kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea Jimbo Kuu la Dar essalaam, anatufundisha juu ya madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia.

    L'articolo Je, unafahamu madhara ya kazi bila mawasiliano katika Familia? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    27 分
  • Je, nani ni muhusika wa mawasiliano katika Familia?
    2025/06/11

    Karibu katika Kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu, leo tuko naye Frateri Joseph Enosi kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea Jimbo Kuu la Dar es Salaam, anazungumzia juu ya mawasiliano katika Familia je, nani anahusika?

    L'articolo Je, nani ni muhusika wa mawasiliano katika Familia? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    27 分
  • Je, unaifahamu nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo?
    2025/06/11

    Karibu katika kipindi cha Familia ni nyumba ya Mungu sehemu ya tatu leo tuko naye Frateri Revocatus Shukuru kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Karoli Lwanga Segerea – Jimbo Kuu la Dar es Salaam ambapo anatuongoza kuangazia mada isemayo nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo. Mtangazaji & Mtayarishaji wako ni mimi […]

    L'articolo Je, unaifahamu nafasi ya Baba na Mama katika kujenga Familia bora ya Kikristo? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    24 分
  • Dawa za kulevya zinavyoathiri vijana
    2025/05/27

    Mpenzi Msikilizaji karibu ufuatilie Makala maalumu iliyoangazia athari za matumizi ya dawa za kulevya pamoja na pombe kupita kiasi. Ndani ya makala haya utasikia shuhuda za vijana waliopona uraibu huo, wanachosema wazazi lakini pia ushauri wa kitaalamu uliotolewa. Ninaamini kupitia makala haya, utakuwa balozi mzuri wa kuhakikisha unamnusuru kijana mwenzako dhidi ya matumizi ya dawa […]

    L'articolo Dawa za kulevya zinavyoathiri vijana proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    53 分
  • Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia?
    2025/05/23

    Karibu uungane nami Happiness Mlewa katika kipindi cha Uraibu, Mwezeshaji ni Padre Richard Matanda Tesha kutoka Jimbo Katoliki la Moshi, akifundisha njia za Familia kupata uponyaji wa uraibu.

    L'articolo Je, unafahamu njia za kuponya uraibu katika Familia? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    52 分
  • Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako?
    2025/05/23

    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Ijue afya yako, mwezeshaji ni Daktari Willison Mgaya kutoka Hospitali ya Mtakatifu Fransisiko wa Asizi, Jimbo Katoliki Ifakara, akiangazia juu ya wasiwasi unavyoweza kuathiri maisha ya kila siku.

    L'articolo Ni kwa namna gani wasiwasi unaweza kuathiri maisha yako? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    44 分
  • Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu?
    2025/05/23

    Karibu uungane nami Martin Joseph katika kipindi cha Chakula na Lishe, Mwezeshaji ni Fatuma Juma, Afisa lishe Mtafiti kutoka Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC), akifundisha juu ya umuhimu wa matunda katika mwili wa mwanadamu.

    L'articolo Je, unafahamu faida ya matunda katika mwili wa Binadamu? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    59 分
  • Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu?
    2025/05/23

    Karibu katika Kipindi cha Maswali yahusuyo Imani ukiwa nami Shemasi Benedict Pascal Ndinde, kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho Jimbo Kuu Katoliki Songea, nikijibu swali la Msikilizaji linalosema Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka), haina tarehe maalumu?

    L'articolo Kwanini sherehe ya ufufuko wa Bwana wetu Yesu Kristo(pasaka) haina tarehe maalumu? proviene da Radio Maria.

    続きを読む 一部表示
    27 分