-
サマリー
あらすじ・解説
Karibu katika kipindi cha Maswali Yahusuyo Imani, tunaungana na Frateri Daudi Fungameza kutoka Seminari Kuu ya Mtakatifu Augustino Peramiho, Jimbo Kuu Katoliki Songea, akijibu swali lililoulizwa na Msikilizaji akihoji kwanini sisi Wakristo Wakatoliki tunaenda kuungama kwa Padre wakati Padre naye ni Binadamu kama sisi?
L'articolo Kwanini Wakristo Wakatoliki huungama mbele ya Padre? proviene da Radio Maria.