
6. Yesu Kristo Alikuja kwa Maji, Damu, na Roho (1 Yohana 5:1-12)
カートのアイテムが多すぎます
ご購入は五十タイトルがカートに入っている場合のみです。
カートに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ウィッシュリストに追加できませんでした。
しばらく経ってから再度お試しください。
ほしい物リストの削除に失敗しました。
しばらく経ってから再度お試しください。
ポッドキャストのフォローに失敗しました
ポッドキャストのフォロー解除に失敗しました
-
ナレーター:
-
著者:
このコンテンツについて
Je, Yesu alikuja kwa maji? Ndiyo ni sahihi. Alikuja kupitia ubatizo Wake. Maji ni ubatizo wa Yesu uliofanywa na Yohana Mbatizaji kwenye Mto Yordani. Ulikuwa ni ubatizo wa ukombozi ambao kwa huo alizichukua dhambi zote za ulimwengu.
Je, Yesu alikuja kwa damu? Ndiyo ni sahihi. Alikuja katika mwili wa mwanadamu na kubatizwa ili kuchukua dhambi zote za ulimwengu, kisha akalipa mshahara wa dhambi kwa kuvuja damu Msalabani. Yesu alikuja kwa damu.
Je, Yesu alikuja kwa Roho? Ndiyo ni sahihi. Yesu alikuwa God, lakini alikuja kama Roho katika mwili ili kuwa Mwokozi wa wenye dhambi.
https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35