『6. Ukuhani Uliobadilika (Waebrania 7:1-28)』のカバーアート

6. Ukuhani Uliobadilika (Waebrania 7:1-28)

6. Ukuhani Uliobadilika (Waebrania 7:1-28)

無料で聴く

ポッドキャストの詳細を見る

このコンテンツについて

Katika Agano la Kale, palikuwepo na kuhani mkuu aliyeitwa Melkzedeki. Wakati wa Abrahamu, Kedorlaoma na wafalme walishirikiana naye na kutaka vitu vyote vya Sodoma na Gomora. Abrahamu akawapa silaha watumishi wake waliofunzwa, wale waliozaliwa katika nyumba yake na kuwaongoza katika vita dhidi ya Kedorlaoma na washirika wake.

https://www.bjnewlife.org/
https://youtube.com/@TheNewLifeMission
https://www.facebook.com/shin.john.35

まだレビューはありません